October 23, 2012

Ngara-Ndizi ndio zao letu kuu la Biashara

Ndizi kutoka wilayani Ngara kwenda kahama Mkoani Shinyanga
Ni moja ya malori yakipakia Ndizi mjini Ngara tayari kusafirishwa kwenda Kahama ambako ndiko Soko la ndizi linapatikana sana.Ni kawaida kwa malori yatokayo Nchini Burundi kupita Ngara na Kupakia ndizi kama Picha inavyoonesha.
             picha na Shaaban Ndyamukama-ngarakwetublogspot.com

4 comments:

  1. Jonas KizimaOct 26, 2012
    Natumaini hii ni furaha kwa wananchi na wakazi woote wa Ngara, na wataitumia fursa hii ya soko la ndizi - Kahama na miji mingine kama njia ya kuongeza uzalishaji wa zao la ndizi kwa ajili ya chakula na kibiashara ili kuongeza kipato na chakula kulikabili tatizo la umaskini wa kipato. Kuongezeka kwa Ubora wa barabara na kupanuka kwa shughuli za kimji nayo ni chachu kwa sera ya KILIMO KWANZA, Jonas Kizima- Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Morogoro, Tanzania

    ReplyDelete
  2. yaah hi ni heshima kwa wakazi wa Ngara goood

    ReplyDelete
  3. yaah hi ni heshima kwa wakazi wa Ngara goood

    ReplyDelete