December 3, 2012

TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Mke wake Mama Salma Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA kwa kutambua mchango wa taasisi hiyo katika mapambano ya Ukimwi wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani ambayo kitaifa iliadhimishwa  mkoani Lindi kwenye uwanja wa Ilulu na kushirikisha wadau mbalimbali wanaopambana na janga la ugonjwa wa ukimwi, kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila.

No comments:

Post a Comment