 |
| Baadhi ya Vijana waliojipanga kufanyiwa tohara katika kituo cha Afya Mabawe-Ngara |
 |
| Vijana wakisubiri tohara |
 |
| Katika Chumba maalumu cha Tohara |
 |
| Tohara ikiendelea |
Ni Kampeni inayoendelea wilayani Ngara ambapo Vijana wanafanyiwa tohara bure. Imeelezwa kitaalamu kuwa Mwanaume aliyefanyiwa tohara ni vigumu kupata magonjwa ya zinaa
No comments:
Post a Comment