| DC Mwamoto na Mtoto mlemavu |
| Mmoja wa watoto walemavu waliopewa msaada |
| Emanuel Gwegenyeza ambaye ni Mwenyekiti CCM akigawa Msaada |
| Mlemavu wa Ngozi |
| Afisa maendeleo ya jamii Bi. Beatrice gwamagobe akigawa sabuni |
| Katibu wa CCM Eliah Kisali akicheza na walengwa |
| DC Mwamoto akitangaza jambo |
| Mkuu wa wilaya Venance Mwamoto akishughulika |
| Meza kuu. kutoka kushoto ni DC Kibondo Venance Mwamoto,katikati ni Katibu wa walemavu Kigoma Damas Jeremia na Kulia ni DED Kibondo Bw. Leopord Chundu Ulaya |
| Viti vyenye magurudumu kama hicho viligawiwa |
| Kulia mwenye Microphone ni DC Kibondo Bw. Venance Mwamoto. anayesukuma wheel Chair ni Mwenyekiti CCM Bw. Emmanuel J.Gwegenyeza |
| Katika Picha kutoka Kushoto ni katibu tawala wa wilaya DAS Kibondo-Julius Samwel |
| Katibu wa CCM wilayani Kibondo Bw.Kisali Eliah akigawa Misaada katika shughuli hiyo |
| Katibu wa wlemavu Kigoma Bw.Damas Jeremia akigawa Misaada |
| Katibu wa wlemavu Kigoma Bw.Damas Jeremia akigawa Misaada |
| Meza ya Misaada |
| Vijana wa Kundi la Sanaa wise boys wakihusika katika ugawaji wa Zawadi/Misaada |
| Mwenye suti ni Bw. Evaristo Ngalama. Mwenyekiti wa Chma cha walemavu CHAWATA wilayani Kibondo |
| Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM wilayani humo Bw. Emanuel Jeremiah Gwegenyeza akisukuma Kiti cha magurudumu alichopewa Mtoto huyo mlemavu |
| DC-Venance mwamoto akisherehesha shughuli hiyo |
| Katibu wa walemavu mkoa wa Kigoma Bw.Damas Jeremia akigawa msaada |
| Viti vyenye magurudumu(wheel Chairs kwaajili ya walemavu) |
| Aliyevaa koti la suti katikati ni Afisa tarafa Kibondo,katika meza yenye Bidhaa zilizogawiwa kwa walemavu |
| Kutoka kushoto,katikati ni Mkuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto akicheza Music katika hafla fupi ya walemavu |
No comments:
Post a Comment