| Waziri Samweli Sitta akiwa katika jumba la mapokezi la Viongozi (Ikulu ndogo),Mjini Ngara |
| Kushoto ni naibu Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda Bw. Francis Mwaipaja |
| Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw.Costantine Kanyasu akitoa Taarifa ya wilaya kwa Waziri Sitta |
| Waziri Sitta na Mkuu wa wilaya ya Ngara Costantine Kanyasu wakibadilishana mawazo katika Kivuko cha Mto Ruvubu,kuelekea Rusumo Mpakani mwa Tanzania na rwanda |
| Wakivuka |
| Akisalimiana na wakandarasi kutoka Japan wanaojenga kituo cha forodha upande wa Tanzania na Daraja linalunganisha Tanzania na Rwanda |
| Waziri Sitta akitoa hotuba |
| Akipewa taarifa ya maendeleo ya Mradi. |
| Daraja |
| Akizungumza na wanafunzi wa Rusumo Sekondari |
| Ofisi mpya Idara ya uhamiaji,Polis na TRA baada ya majengo ya awali kubomolewa kupisha upanuzi |
No comments:
Post a Comment