Picha imepigwa kutokea kilima kilichopo Tanzania,Kushoto kilima kiko nchini Burundi na kinachoonekana kulia kipo Rwanda. Ndio maana eneo hilo likaitwa Mafiga matatu |
Muonekano wa mto |
Taswira ya mafiga 3 |
Mwanangarakwetu Shaaban Nassib Ndyamukama akitoa maelezo ya jiografia ya eneo hilo kwa Sheikh mkuu wa wilaya ya Ngara na Viongozi wenzake |
Add caption |
Huu ndio Usafri wetu. tulilazimika kuliacha njiani na kutembea kwa miguu ili kufaidi mandhari ya eneo hilo |
hapa ni jirani na Rusumo?
ReplyDelete