September 23, 2016

NAFASI ZA MASOMO-CHUO CHA MADINI KAHAMA

KAHAMA MINERALS TRAINING COLLEGE
CHUO CHA MAFUNZO YA MADINI
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO – 2016/2017

KOZI ZA MADINI,  KUOPARETI MASHINE,  UDEREVA WA MAGARI NA UFUNDI MAGARI
Mkurugenzi wa Chuo   anawatangazia nafasi za masomo kama ifuatavyo:-
·         MINING ENGINEERING -  Ngazi ya  Cheti  ((mwaka mmoja)
·         MINERALS PROCESING – Mwaka mmoja
·         GIOLOGY AND SUVEY EXPLORATION – Mwaka mmoja
·         OIL AND GAS  - Mwaka mmoja
·         MASHINE OPARETING – Miezi miwili
·         UDEREVA WA MAGARI – miezi miwili
·         UFUNDI MAGARI – mwaka mmoja
CHUO KIPO KATIKA HAMASHAURI YA MJI WA KAHAMA ENEO LA NYAHANGA JIRANI NA KANISA LA MLIMA SAYUNI – AICT
SABABU ZA KUJIUNGA NA CHUO HIKI
·                Utapata ujuzi ambao utakuwezesha kujiajiri  na kuajiriwa kwenye Migodi ya Madini nje na ndani ya       nchi yetu.

SIFA ZA KUJIUNGA – KWA KOZI ZA OPERATING MASHINE , FUNDI MAGARI NA DEREVA WA  MAGARI
·                Elimu ni kuanzia Darasa la Saba,  kidato cha Nne na kuendelea
·                Umri uwe na miaka 18 na kuendelea
KOZI ZA MINERALS  ENGINEERING
·                Uwe umehitimi Kidato cha NNe na kupata ufaulu usiopungua masomo manne
·                Kwa wale ambao hawakufaulu kidato cha Nne watapokelewa na watasoma kozi hii na watafanya mtihani wa  Chuo tu  na watapewa Cheti cha Chuo na watapelekwa kufanya kazi Mgodini baada ya kuhitimu masomo yao.

           Masomo yataanza tarehe 1st Octoba, 2016
FOMU ZINAPATIKANA CHUONI KAHAMA , KWA IGUNGA  NA  MAENEO YA JIRANI FOMU  ZINAPATIKANA   UWENDE STATIONERY , BARABARA YA MWANZUGI, MKABALA  NA THE PEAK LODGE  (WAKALA WA  CRDB). PIA UNAWEZA KULIPIA FOMU  KWENYE AKAUNTI YA CHUO AMBAYO  NI  “ KAHAMA MINERALS  TRAINING COLLEGE”   AKAUNT  NO. 0150207776700 CRDB BANK.

GHARAMA YA FOMU  SHILINGI ELFU KUMI TU  (10,000/=).
Kwa maelezo zaidi tupigie simu kwa namba zifuatazo:-
0742 522290,  0789 637020  & 0629  906218

WOTE MNAKARIBISHWA
KAHAMA MINERALS TRAINING COLLEGE
CHUO CHA MAFUNZO YA MADINI
TANGAZO  LA NAFASI ZA MASOMO – 2016/2017

KOZI ZA MADINI,  KUOPARETI MASHINE,  UDEREVA WA MAGARI NA UFUNDI MAGARI
Mkurugenzi wa Chuo   anawatangazia nafasi za masomo kama ifuatavyo:-
·         MINING ENGINEERING -  Ngazi ya  Cheti  ((mwaka mmoja)
·         MINERALS PROCESING – Mwaka mmoja
·         GIOLOGY AND SUVEY EXPLORATION – Mwaka mmoja
·         OIL AND GAS  - Mwaka mmoja
·         MASHINE OPARETING – Miezi miwili
·         UDEREVA WA MAGARI – miezi miwili
·         UFUNDI MAGARI – mwaka mmoja
CHUO KIPO KATIKA HAMASHAURI YA MJI WA KAHAMA ENEO LA NYAHANGA JIRANI NA KANISA LA MLIMA SAYUNI – AICT
SABABU ZA KUJIUNGA NA CHUO HIKI
·                Utapata ujuzi ambao utakuwezesha kujiajiri  na kuajiriwa kwenye Migodi ya Madini nje na ndani ya       nchi yetu.

SIFA ZA KUJIUNGA – KWA KOZI ZA OPERATING MASHINE , FUNDI MAGARI NA DEREVA WA  MAGARI
·                Elimu ni kuanzia Darasa la Saba,  kidato cha Nne na kuendelea
·                Umri uwe na miaka 18 na kuendelea
KOZI ZA MINERALS  ENGINEERING
·                Uwe umehitimi Kidato cha NNe na kupata ufaulu usiopungua masomo manne
·                Kwa wale ambao hawakufaulu kidato cha Nne watapokelewa na watasoma kozi hii na watafanya mtihani wa  Chuo tu  na watapewa Cheti cha Chuo na watapelekwa kufanya kazi Mgodini baada ya kuhitimu masomo yao.

           Masomo yataanza tarehe 15th  Octoba, 2016

FOMU ZINAPATIKANA CHUONI KAHAMA KWA GHARAMA YA TSHS 10,000/= , UNAWEZA KULIPIA FOMU  KWENYE AKAUNTI YA CHUO AMBAYO  NI  “ KAHAMA MINERALS  TRAINING COLLEGE”   AKAUNT  NO. 0150207776700 CRDB BANK NA UTATUMIWA FOMU MAHALI POPOTE ULIPO.

Kwa maelezo zaidi tupigie simu kwa namba zifuatazo:-
0742 522290, 0789 637020 &  0629  906218


WOTE MNAKARIBISHWA

www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment