June 30, 2016

MAZISHI YA DKT.MBASSA MBUNGE WA ZAMANI WA BIHARAMULO MAGHARIBI

Jumatano ya Juni 29,Dkt.Anthony Gervase Mbassa alizikwa.
Jeneza la Dkt.Mbassa
Ilikuwa wakati wa kuaga Mwili wa marehemu. Zoezi hilo lilitanguliwa na ibaada
Kutoka kushoto,ni waombolezaji Mwl.Hermas kabujaja,katikati ni aliyekuwa driver wa Mbassa wakati wa Ubunge 2010-2015 Bw.Zephrine Stephano na kulia ni Bw.Juventus Juvenary.
Wakati wa salaam za Mwisho kwa Mwili wa Marehemu Dkt. Anthony Gervase Mabssa
Ibaada maalum ilifanyika nyumbani kwake Mtaa wa Rukaragata,na Mazishi yakafanyika katika Kijiji cha Chaitaka ambako ndiko alikozaliwa. Bwana alitoa,Bwana ametwaa jina la Bwana lihimdiwe. Amen
www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment