November 17, 2012

Heko Women Craft-Ngara

 Pichani anaonekana Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akisikiliza maelezo kuhusu utengenezaji wa Vikapu kutoka kwa mwakilishi wa Kikundi cha Women Craft, Edron Mwaku, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho kwenye maonyesho ya 3 ya wake wa Mabalozi, yaliyofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa 'International School' Masaki  Nov 17, 2012. 

Ngara kwetu inatoa Pongezi kwa WOMEN CRAFT. watu kama akina mama Mpenzile na wengine wote. 

kwa wale waiopafahamu, nakumbuka Ofisi zao zilikuwa Murgwanza. naamni bado wanaendelea na shughuli pale. Ni mfano wa kuigwa

No comments:

Post a Comment