December 7, 2017

TUPAMBANE NA HALI

Tulio wengi tumepitia hali hii. Si haki yetu kuwa hivi, Tuna kila hali ya kupambana na hali hiyo. Nakaribisha mawazo kwenu ndugu jamaa na marafiki, wafuasi wa blogu hii. Tufanye nini kusaidia watoto waliopo katika hali ya nama hii?
Niandikie juveilla@gmail.com au piga simu no. 0743046811
www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment