PICHA ZOTE KWANIABA YA SHAABAN NASSIB NDYAMUKAMA.
Nje ya ofisi ya Mkuu wa wilaya. Mkuu wa wilaya ya Ngara wa zamani Bi.Honoratha Chitanda akiagana na Mkuu mpya wa wilaya hiyo Luteni Col Michael Mangwela Mntenjele baada ya Kumkabidhi Ofisi.
Mkuu mpya wa wilaya ya Ngara Luteni Col Michael Mangwela Mntenjele akisalimiana na Mkuu wa wa zamani Bi.Honoratha Chitanda mbele ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya hiyo.
www.ngarakwetu.blogspot.com
No comments:
Post a Comment