August 14, 2017

KARIBU THE MSANII ARTIST

-Tuna Print T-Shirt,Kuuza na Kuchapa kwa Mashine(Aina zote za T-shirt)Nguo za shule na Vifaa vya Michezo..

-Tunachora na Kuandika Mabango aina zote.

-Tunatengeneza mawe ya msingi,Ufunguzi na Uzinduzi aina zote na za kisasa.

-Tunatengeneza nembo na kutoa mafunzo ya sanaa za mikono kwa mtu mmoja mmoja.

Kauli mbiu yetu kuelekea Tanzania ya Viwanda "Fanya Kazi nasi,Epuka Vishoka"

Tunapatikana Geita Mjini Mtaa wa NMB kona ya kuelekea Hospitali ya Mkoa, na Kasulu tupo mtaa wa Mahwenyi karibu na Neema Guest House


Kwa mawasiliano zaidi....0756 54 40 01/ 0784 544 001 na 0754 676 830. Huduma zetu zinaweza kukufikia popote ulipo.
    Wote Mnakaribishwa



                            www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment