July 5, 2013

NGARA KWETU,IMETEMBELEA RADIO KWIZERA

katika Picha 1,2&3 ni Juventus Juvenary. Hapo ni Studio no.2 ambayo ndiyo Studio kuu ya kurushia matangazo

Juve

JVS

Picha hii na inayofuata,ni Godwin Bruchard. Katika vipindi vya Burudani anaitwa G2B

G2B

Huyu ni Frank Mwondo akiwa katika moja ya Studio za kuandalia Vipindi. studio no 1

Huyu ni William Mpanju akiandaamoja ya vipindi vya Dini
  
Hapa ni Chumba cha Habari. Huyu ni Dotto Jasson Bahemu Mhariri wa habari akiwa kazini

Huyu Binti anaitwa Veronica Mabwile akinadika habari



No comments:

Post a Comment