| Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw. Costantine Kanyasu akikabidhi risala ya utii kwa kiongozi wa mbio za Mwenge |
| Mwenyekit wa halmashauri ya wilaya ya Ngara Bw. John Shimilimana akikabidhi zawadi kwa mmoja wa wakimbiza mbio za mwenge |
| Hii ni kamati ya ulinzi na Usalama ya wilaya katika \picha ya pamoja na Mbunge wa Ngara Mh.Deogratius Ntukamazina |
| Katibu wa CCM Haula Kachwamba kutoka kulia akifuatiwa na Mjube wa NEC Bw. Issa Samma |
| Baadhi ya wananchi walioamua kupanda mti ili kushuhudia matukio vizuri |
| Kauli mbiu ya mwenge 2013 |
No comments:
Post a Comment