August 13, 2013

ZIARA YA SHEIKH WA MKOA WA KAGERA WILAYANI NGARA KATIKA PICHA



Katika ziara hiyo akiwa ameambatana na Viongozi wa BAKWATA Sheikh Harouna Abdallah Kichwabutaameitaka jamii kujenga tabia ya kusomesha watoto kwani urithi pekee kwa watoto ni Elimu


Sheikh Kichwabuta amesema,Jamii haina budi kuwasomesha watoto wao ili kuwajengea mwelekeo mzuri wa ushindani katika soko la ajira na mataifa jirani

Aidha Sheikh Kichwabuata ambaye ameambbatana na viongozi mbali mbali wa BAKWATA Mkoani Kagera amesisitiza suala la Ushirikiano kati ya waumini wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ili kuimarisha amani,mapendo na mshikamano wa watanzania.    

 
Hapa akikaribishwa Radio Kwizera


wakipata maelezo kutoka kwa afisa uzalishaji wa vipindi Radio Kwizera Joyce Ngallawa

Ndani ya studio za Radio Kwizera-Ngara


Hapa akizungumza na mratibu wa vipindi vya dini Juventus Juvenary

Joyce Ngallawa(Production Officer) akitoa maelezo namna Radio inavyofanya kazi


No comments:

Post a Comment