August 15, 2013

KAMPENI YA TOHARA KWA WANUAME-NGARA


Baadhi ya Vijana waliojipanga kufanyiwa tohara katika kituo cha Afya Mabawe-Ngara

Vijana wakisubiri tohara

Katika Chumba maalumu cha Tohara

Tohara ikiendelea
Ni Kampeni inayoendelea wilayani Ngara ambapo Vijana wanafanyiwa tohara bure. Imeelezwa kitaalamu kuwa Mwanaume aliyefanyiwa tohara ni vigumu kupata magonjwa ya zinaa

No comments:

Post a Comment