| Mbunge wa Biharamulo Magh Dr Anthony Mbassa akielekea kupiga penalt kama ishara ya ufunguzi wa Ligi ya Soka.Mbassa Cup 2013 wilayani Biharamulo |
| akipiga penalt |
| Mwenye Mic kushoto na kibaragashia ni mwenyekiti wa chama cha soka Biharamulo Mwl Dauda Ramadhani akitoa ufafanuzi |
| Mb. Dk Mbassa akisalimia na kukagua wachezaji |
| Benchi la waamuzi |
| Kutoka Kushoto ni Timu ya Bandari FC,katikati waamuzi na Kulia ni Timu ya Homeboys waliofungua Ligi.Bandari walishinda 4-0 dhidi ya Homeboys |
| Mwl Dauda ramadhani mwenyekiti wa Chama cha soka biharamulo na Mh Mbunge Dk, Anthony Mbassa |
No comments:
Post a Comment