May 27, 2016

Mourinho na uzi wa Man U.

Mourinho, ambaye amekuwa nje ya Kibaru tangu alipotemwa na Chelsea Mwezi December anachukua nafasi ya mshauri wake mtangulizi Van Gaal, aliyetimuliwa na Man U siku mbili baada ya ushindi wa Kombe la FA dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Wembley.

www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment