Mtaalam wa miradi wa UNESCO anayeshughulikia masuala ya maji na makazi kutoka Paris –Ufaransa Dkt.Alexandros Makarigakis akifungua Mkutano |
DAR ES
SALAAM
Wizara ya
maji na Umwagiliaji imetaja tatizo la miundombinu bora ya maji na Mifumo ya
uondoshaji wa taka katika maeneo mbali mbali kuwa chanzo cha Magonjwa ya
mlipuko hasa Kipindupindu ambacho ni changamoto kwa maendeleo ya Taifa
Mkurugenzi
wa rasilimali maji katika wizara hiyo Dkt. George Lugomela amesema hayo wakati
akitoa taarifa katika Mkutano ulioandaliwa na shirika la maendeleo ya
Elimu,Sayansi na Utamaduni UNESCO uliofanyika katika Hoteli ya Protea Jijini
Dar Es Salaam
Dkt.Lugomela
amesema mkoa wa Dar Es Salaam pekee una asilimia 10 ya Mfumo wa maji safi na uondoaji wa taka katika mitaa hali inayokwamisha mapambano dhidi ya ugonjwa
wa Kipindupindu
Kwa Upande wake Mtaalam wa miradi wa UNESCO
anayeshughulikia masuala ya maji na makazi
kutoka Paris –Ufaransa Bw.Alexandros Makarigakis amesema Shirika hilo
limedhamilia kukomesha vifo vitokanavyo na Kipindupindu kwasababuza
ukosefu wa maji safi
na salama ya kunywa, Miundombinu mibovu ya Maji mifumo yake.
Washiriki wakiendelea na Mkutano |
www.ngarakwetu.blogspot.com
No comments:
Post a Comment