June 30, 2017

Mbunge wa Ngara,atoa vifaa vya Michezo

Mbunge wa jimbo la Ngara Alex R.Gashaza ameta Vifaa vya michezo ikiwemo mipira na Jezi kwa wachezaji wa timu 78 zilizoshiriki ligi yake maarufu kama Gashaza Cup mzunguko wa vijiji,kuelekea kata na sasa hatua inayofuata ni tarafa kutafuta mshindi wa wilaya.
Picha na Issa Kazimoto,dereva wa Mbunge





Pichani,Mbunge wa jimbo la Ngara Alex Gashaza katika matukio tofauti ya kukabidhi vifaa vya Michezo.
www.ngarakwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment