December 7, 2012

Miaka 51 tangu Uhuru wa Tanganyika

HAKIKA KWA YOTE,TUTAMKUMBUKA MWL JK NYERERER
Baada ya Uhuru, Watanganyika  1961 walifurahia kwa kumbeba Mwl.Julius Kambarage Nyerere kwakufanikisha uhuru huo kutoka kwa srikali ya wakoloni wa Waingereza
Nyerere pia alifanikisha uhuru wamataifa mengine ya kiafrika

Akaanzisha wazo la kuwasha Mwenge wa uhuru. Kumulika penye Giza,kuleta amani pasipo na amani na kuleta kuleta upendo palipo na chuki na mambo kedekede!





Picha hii,ni Mwl Nyerere wakati wa azimio la ARUSHA
Viongozi wengi wa Afrika walitegemea na kuzitumia sana Busara za mwalimu Nyerere

Nyerere alikubalika hata nje ya Afrika

Mwalimu Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika(Bara)  na Visiwani (Zanzibar) kuashiria Muungano rasmi uliopelekea jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1964

Kwa busara na wingi wa hekima,1985 alijiuzuru kwa kauli ya Kung'atuka. Pichani akiwa na Al hajj Ali Hassan Mwinyi,aliyechukua madaraka baada ya Mwalimu na Kuwa Rais wa Pili wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania

No comments:

Post a Comment