![]() |
| Baada ya Uhuru, Watanganyika 1961 walifurahia kwa kumbeba Mwl.Julius Kambarage Nyerere kwakufanikisha uhuru huo kutoka kwa srikali ya wakoloni wa Waingereza |
![]() |
| Nyerere pia alifanikisha uhuru wamataifa mengine ya kiafrika |

Akaanzisha wazo la kuwasha Mwenge wa uhuru. Kumulika penye Giza,kuleta amani pasipo na amani na kuleta kuleta upendo palipo na chuki na mambo kedekede!
![]() |
| Picha hii,ni Mwl Nyerere wakati wa azimio la ARUSHA |
![]() |
| Viongozi wengi wa Afrika walitegemea na kuzitumia sana Busara za mwalimu Nyerere |
![]() |
| Nyerere alikubalika hata nje ya Afrika |
![]() |
| Mwalimu Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika(Bara) na Visiwani (Zanzibar) kuashiria Muungano rasmi uliopelekea jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1964 |








No comments:
Post a Comment