November 5, 2014

Timu ya Idhaa ya Kiswahili

Wengi wetu, mitaani,maofisini na Mitandaoni tumekuwa tukisikiliza matangazo ya Radio deutch welle na kupata shauku ya kuwafahamu watangazazji. Kutokana na Ombi Maalum ......nimepata hii

Kutoka Bonn, hiki ndiyo kikosi cha Idhaa yako ya Kiswahili kinachokuletea moja kwa moja taarifa za habari, ripoti, uchambuzi na makala motomoto zilizotafitiwa vyema, zilizopimwa na zisizoegemea upande wowote.

Kutoka kushoto: Mohammed Khelef, Mohamed Dahman, Oummilkheir Hamidou, Elizabeth Shoo, Nyamiti Kayora, Abdul Mtullya, Nina Markgraf, Grace Kabogo, Daniel Gakuba, Amina Abubakar, Mohamed Abdul-Rahman, Zuhura Hussein, Batoul Kidadi, Saumu Mwasimba, Iddi Ssessanga, Samia Othman, Sudi Mnette, na Andrea Schmidt.

No comments:

Post a Comment