October 10, 2013

FINALI YA MBASSA CUP-BIHARAMULO KTK PICHA



Ligi soka kuwania Kombe la Mbunge wa jimbo la Biharamulo Magharibi imemalizika kwa Timu ya Bandari FC kuibuka washindi  kwakuifunga goli moja timu ya ….., katika mchezo uliofanyika oktoba 6 mwaka huu siku ya jumapili katika uwanja wa mpira Biharamulo mjini.

Hivyo ndivyo, mambo yalivyokuwa . Baada ya shamra shamra,Mgeni rasmi ambaye ndiye mdhamini wa ligi hiyo Dr Anthony gervase Mbassa akazungumza na wachezaji,kamati ya maandalizi na mashabiki wa soka
Awali katika ufunguzi wa Ligi hiyo mapema mwezi jana Mwenyekiti wa Chama cha Soka Biharamulo Mw. Daudaalimuomba Mbunge huyo kuendelea kufadhili michezo wilayani humo ikiwa ni pamoja na kufanikisha uwanja wa Biharamulo unakuwa na mgori mazuri. Dr Mbassa katika hotuba yake akazungumzia suala hilo
Katika sherehe
Zawadi
Mshnd 1. Laki 5 na seti ya jezz na mpira 1.  2- laki 3 na mpira, 3 –laki 2 na mpira, kipa bora  kutoka ruziba50 elfu, mchezaji bora-bizibo- 50 elfu,mfungaji bora timu ya h/w 50 elfu. Timu yenye nidhamu ilikuwa home boyz walipata elfu 50



Mbunge wa Biharamulo Magharibi Dr Anthony Gervase Mbassa akisalimiana na wachezaji kabla ya mechi kuanza


 Dr Mbassa akisalimiana na Kamati ya maandalizi ya ligi hiyo,kushoto kwake mwenye trak suit ya kijani ni Bw. Yusuph Khatry mjumbe wa NEC-Biharamulo

No comments:

Post a Comment