October 19, 2012

Baadhi ya wakulima wageuza Bangi kuwa zao la Biashara-Ngara

Askari wa Jeshi la POlisi Wilayani Ngara akimdhibiti Mkulima mmoja wa Bangi katika Kijiji cha Burengo. Askari akiwa na chupa ya Petrol tayari kwaajili ya kuichoma Bangi

Bangi sio KILIMO KWANZA!
 Picha na: William Mpanju-ngarakwetublogspot.com

No comments:

Post a Comment