May 4, 2013

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WIALAYA YA BIHARAMULO-APRIL 25,2013

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo-Nassib Mbagga akifafanua jambo katika kikao cha Baraza la madiwani




Diwani wa kata ya Nkwen'ge akiuliza swali


Mkuu wa wilaya ya Biharamulo  Bw. Lichard Mbeho akihutubia Baraza la madiwani









No comments:

Post a Comment