July 26, 2013

ZIARA YA JK KAGERA

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini katika Vitabu wilayani Biharamulo


Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuri akisaini katika kitabu wakati wa ziara ya Rais

Mh. Rais(Kushoto ) akifuatiwa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanal Mstaafu Fabian Masawe,na baadhi ya mawaziri walioambatana naye katika ziara

Wananchi pamoja na wadau

Wananchi wa Biharamulo wakifuatilia hotuba ya Mh. Rais

Kikundi cha Ngoma kikitumbuiza. Waziri wa ujenzi John Pombe Magufuri akionesha ustadi wake katika kupiga Ngoma


Sehemu ya Barabara iliyozinduliwa na Rais.


Biharamulo Round about

Baadhi ya wataalam wa wilaya ya Biharamulo(kutoka kulia) mwenye koto la suti na kitamburisho  ni Dk.Gresmus Ssebuyoya,Mganga mkuu wa Hospitali teule ya wilaya hiyo wakifuatilia Hotuba ya Mh. Rais

No comments:

Post a Comment