November 21, 2013

TAKUKURU YAWATAKA WANANCHI KUJENGA TABIA YA KUTOA TAARIFA ILI KUTOKOMEZA RUSHWA-Ngara

Wadau wakijadili kuhusu utendaji kazi wa TAKUKURU katika uchunguzi na udhibiti wa rushwa katika miradi ya maendeleo kupitia Radio Kwizera Ngara
Kushoto ni Bw. Malanilo Simon akijibu swali na mwanahabari william Mpanju ndani ya studio za Radio Kwizera, Msimamizi wa matangazo ni Juventus Juvenary hayupo pichani

Kutoka kushoto ni Bw. Malanilo,katikati ni mwanahabari wa RK william Mpanju na kulia ni afisa kutoka TAKUKURU Ngara Bw. Daudi Kapama

Hayo yamejiri wakati wa mjadala wqa asubuhi njema Novemba 22, 2013 kupitia Radio Kwizera-Ngara. Mjadala ulikuwa unahusu namna TAKUKURU wanavyoshiriki katika kuchunguza na kuzuia Rushwa katika miradi mbali mbaili ya maendeleo

No comments:

Post a Comment