July 18, 2014

BAJAJ-ZIMESAIDIA KUOKOA MAISHA NA KUBORESHA AFYA ZA WANAWAKE WAJAWAZITO?

Katika maeneo mengi nimeelezwa kuwa miundombinu ya Barabara si rafiki hivyo hazijafanya kazi. Hata hivyo Mwanamke mjamzito kukaa kwenye Bajaj kwenda kujifungua ni mateso. wewe unasemaje? niandikie juveilla@gmail.com au juventusjuvenary@gmail.com

Kutokana na kutofanya kazi limetunzwa

No comments:

Post a Comment